Tuesday, May 6, 2014
FID Q "NILISTAHILI KUSHINDA TUZO YA KILL, KILA MTU AMEFURAHI BAADA YA KUNIBANIA KWA MUDA MREFU"
Msanii Fid Q amehabarisha kuwa kila mtu amefurahi kwa yeye kushinda Tuzo ya Mwana Hip Hop Bora wa Mwaka , Amesema hiyo inajidhihirisha hata kwenye Social Media kila mtu anasifia na kukubali ishindi wake
..Amasema Amebaniwa Miaka Mingi hiyo tuzo na Hatimae ameipata....
Saturday, May 3, 2014
Hatimaye KTMA 2014 hii hapa, leo usiku
Wahenga wanasema subira yavuta heri. Hilo linathibitishwa, baada ya kusubiri kwa miezi zaidi ya mwili hatimaye leo ndio tuzo kilele cha tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards zitakazofanyika katika ukumbi wa Mlimani City.
Fuatilia kila tukio live kupitia www.kililager.com/KTMA ukianza na Red Carpet wakati Jokate Mwegelo, Salma Msangi na Millard Ayo wakiwahoji mastaa mbalimbali watakaokuwa wakiwasili katika zuria jekundu na utaweza kujua kina nani wametokezea. Baadae wataungana na Sam Misago wa EATV katika Social Media Lounge ambapo wakuwa wakiwahoji washindi na wateule wengine wa tuzo.
Thursday, May 1, 2014
VIDEO: Sauti sol - Nishike hii hapa
Baada ya skendo nyingi kwa wanamuziki wa kundi la Sauti Sol kutoka nchini Kenya, sasa watoka na song jipya kwa jina la "Nishike" kuonesha kuwa
Subscribe to:
Posts (Atom)