Pages

Subscribe:

Ads 468x60px

Sunday, March 23, 2014

SHAKIRA NDIYE MWANAMUZIKI MWENYE LIKES NYINGI ZAIDI KWENYE FACEBOOK,ZAIDI YA LIKES MILIONI 86

            Mwimbaji mrembo Shakira wa Colombia ndiye mwanamuziki mwenye ukurasa wenye likes au wafuasiwengi zaidi duniani kwa sasa katika mtandao wa kijamii wa Facebook baada ya kufikisha likes 86,549,479. Na kufuatiwa kwa karibu na mwanadada Rihanna aliyeshirikiana naye katika nyimbo iliyofanya vizuri sana "I can't remember to forget you" ambaye ameshika nafasi ya pili kwa kuwa na likes 86,200,046  hukuwa tatu ni mwanamuziki wa mziki wa HIP HOP Eminem mwenye likes 83,904,675 kwa mujibu wa metro.co.uk

Shakira
 Mwanadada Shakira mwenye hit song "Hips don't lie" pia alishare habari hiyo na mashabiki wake wa mtandao huo wa kijamii Facebook kwa kuandika;
"Wow.... i was just told i now have the most followed page on facebook in the world! i still cannot belive it!
i always wanted to have a lot of friends but never imagined it would be so many...86m!
so humbled,can't thanks you guys enough for your support,i feel so fortunate to have you.
Giant kiss! Forever thankful,
Shak
"

Shakira anatarajia kuachia album yake mpya na ya kumi iitwayo 'shakira' jumanne ya wiki hii inayoanza March 35.

Hii ni top ten ya watu maarufu wenye likes nyingi Facebook;
1.Shakira - 86,429,950 likes
2.Rihanna - 86,271,149 likes
3.Eminem - 83,935,160 likes
4.Cristiano Ronaldo - 76,148,074 likes
5.Michael Jackson - 71,605,480 likes
6.Vin Diesel - 70,124,905 likes
7.Katy perry - 65,694,061 likes
8.Will Smith - 64,732,390 likes
9.Justin Bieber - 64,167,390 likes
10.Lady Gaga - 63,776,645 likes

0 comments:

 
Blogger Templates