LIL WAYNE ACHUKIZWA NA KANYE KWA SABABU YA ALBAM YA TYGA.
Nyota wa muziki wa HIP HOP nchini Marekani Lil Wayne na pia
muanzilishi na mmiliki wa kundi la "young money" amechukizwa na kitendo cha
mwanamuziki wa kufoka Kanye west kuandaa(produce) albam ya mwanachama wa
kundi la young money Tyga...
![]() |
Lil Wayne |
analojiuliza Lil wayne akiwa kama mmiliki wa kundi alilopo Tyga... Tyga
mwenyewe anasema kuwa "kila nilipokuwa nakutana na Kanye West kwenye
starehe au popote ni kama tuna uunganiko fulani hiv.." na hapo ndipo hamu
ya Kanye west na Tyga kupata nafasi ya kujadili kufanya albam ya "GOLD".
![]() |
Kanye West |
anapambana kwaiyo tumuache afanye anachoona ni sawa" kwa kusema hivo
inaonyesha kuwa Rapper huyo kukubaliana jambo hilo kiroho safi japo
hakupewa taarifa kabla... kaa mkao wa kula kwani albamu ya GOLD njiani.
![]() |
Tyga |
0 comments:
Post a Comment