Pages

Subscribe:

Ads 468x60px

Sunday, March 23, 2014

MBEYA FREE MUSIC CONCERT YA ZANTEL WAKISHILIKIANA NA SWEETY FM.

    Onesho lililofanyika mjini Mbeya katika viwanja vya "Mbeya city pub" na kupambwa na MCs kutoka sweety fm kwa ajili ya kukuza vipaji vya wasanii wanaochipukia mjini Mbeya .Msanii mkubwa wa mziki wa HIP HOP kutoka salasala Godzilla a.k.a King zilla ku-perform ndani ya jukwa hilo la Mbeya free music concert lililopambwa na vituko vingi kutoka kwa watoto wa Mbeya city....

Watangazaji wa Sweety fm Langa na Ashrey wakifungua show
 Show ilianzishwa na ma-underground, ma-dancers na wanamuziki kutoka Mbeya city waliovamia jukwaa kwa nguvu zote na kuacha mashabiki kupiga shangwe "non-stop" bila kuchokwa noa, kati ya wanaburudani walio pagawisha mashabiki ni Kareem,Z-kali,ukwu dancer na pia Modolist aliye pagawisha mashabikki zaidi  kwa wimbo wake wa "Usiniache" akifuatiwa na wanadada wa inye ndembendembe kupagawisha, pia burudani kutoka kwa watangazaji wa sweety fm kuwabamba zaidi mashabiki...

Watangazaji wa vipindi vya Sweety fm mbeya wakila bonge la sebene

Ukwu dancers nao hawakuwa nyuma katika kuwaburudisha mashabiki

Wadau wa burudani wakiwa wamefurahia show noma sana
Jukwaa lilipamba moto zaidi pale walipopanda wanamuziki kutoka Mbeya city wakifuatiwa na King zilla kutoka salasala Dar es salaam...wasanii waliokuwepo kutoka Mbeya city ni Kesse boy,Zax B,Jozy  mapenzi,PC the master,MC murder,Must,BZQ na pia mwanadada Lil stiga kwa pamoja ndani ya jukwaa moja na kuwapagawisha mashabiki sana.  

0 comments:

 
Blogger Templates