Pages

Subscribe:

Ads 468x60px

Monday, April 14, 2014

MAALIMU MUHIDIN GURUMO AFARIKI DUNIA AKIWA NA MIAKA 74.


Mwanamuziki mkogwe wa muziki wa dance Nchini Maalim Muhidin Gurumo afariki dunia jumapili ya April 13baada ya kulazwa katika hospitali ya taifa Muhimbili jijini Dar es salaam..

Mzee Gurumo alipelekwa kulazwa jumumosi hii katika hospitali hiyo na kulazwa wodi namba tano baada ya mapafu yake kujaa maji,ambapo awali alikuwa akisumbuliwa na maradhi mbalimbali kiasi cha kulazwa katika hospitali hiyo lakini aliruhusiwa kurudi nyumbani baada ya kupata nafuu.

Mzee Gurumo alizaliwa mwaka 1940 katika kijiji cha Masaki Kisarawe mkoa wa Pwani
Mwanamuziki huyo aliyeimbia bendi ya  Msondo Ngoma kwa zaidi ya miaka 50 tangia mwaka 1964, ameacha mjane na watoto.... extreme taarifa inawapapole familia ya mzee Ngurumo.

0 comments:

 
Blogger Templates