Pages

Subscribe:

Ads 468x60px

Thursday, April 10, 2014

Lupita Nyong'o akava jarida la Marie Claire

Ikiwa ni wiki moja tuu toka mwanadada nyota wa filamu ya "12 years of slave" Lupita Nyong'o kutangazwa kuwa ni balozi wa vipodozi vya Lincome ya Ufaransa, mwigizaji huyo amekava jarida la Marie Claire toleo la mwezi ujao ( may 2014)..

Katika jarida hilo mwigizaji huyo wa kenya amezungumzia mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na projects zake zijazo.Pia amekiri kuwa hapo mwanzo hakuwa mtu wa fashion na kumpa sifa na shukrani stylist wake Micaela Erlanger ambaye ndiye husimamia swala zima la muonekano wake.

0 comments:

 
Blogger Templates