Tuesday, May 6, 2014
FID Q "NILISTAHILI KUSHINDA TUZO YA KILL, KILA MTU AMEFURAHI BAADA YA KUNIBANIA KWA MUDA MREFU"
Msanii Fid Q amehabarisha kuwa kila mtu amefurahi kwa yeye kushinda Tuzo ya Mwana Hip Hop Bora wa Mwaka , Amesema hiyo inajidhihirisha hata kwenye Social Media kila mtu anasifia na kukubali ishindi wake
..Amasema Amebaniwa Miaka Mingi hiyo tuzo na Hatimae ameipata....
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment