Pages

Subscribe:

Ads 468x60px

Saturday, May 3, 2014

Hatimaye KTMA 2014 hii hapa, leo usiku


Wahenga wanasema subira yavuta heri. Hilo linathibitishwa, baada ya kusubiri kwa miezi zaidi ya mwili hatimaye leo ndio tuzo kilele cha tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards zitakazofanyika katika ukumbi wa Mlimani City.


Fuatilia kila tukio live kupitia www.kililager.com/KTMA ukianza na Red Carpet wakati Jokate Mwegelo, Salma Msangi na Millard Ayo wakiwahoji mastaa mbalimbali watakaokuwa wakiwasili katika zuria jekundu na utaweza kujua kina nani wametokezea. Baadae wataungana na Sam Misago wa EATV katika Social Media Lounge ambapo wakuwa wakiwahoji washindi na wateule wengine wa tuzo.

0 comments:

 
Blogger Templates