Pages

Subscribe:

Ads 468x60px

Thursday, April 17, 2014

TEN HIP HOP FACTS HIZI HAPA

HIP HOP ni aina ya muziki au utamaduni unaopendwa na vijana wengi zaidi duniani na ni aina ya muziki wenye mashabiki wengi zaidi… kuna baadhi ya mambo ambayo najua utakua haufahamu kuhusiana na muziki huu na hujawahi sikia kwa mtu sasa fungua macho nikupe ukweli wa mambo kadhaa..

1.KUNDI LA HIP HOP LA KWANZA LA WANAWAKE
      Tumeona makundi mengi ya hip-hop huwa ni ya wanaume tupu lakini hawa ndio wanawake wa kwanza kuwa pamoja na kutengeneza group moja lililokwenda kwa jina la MARCEDES LADIES

2.KAZI ALIYOFANYA DIDDY KABLA YA KUANZA MUZIKI
     Kwa mara ya kwanza P.diddy alianza kuonekana katika majukwaa ya HIP HOP  akiwa kama “back up” dancer wa Big Daddy Kane.. hapo ndio tunaona kweli everything Start from bottom

3.MARA YA KWANZA JAY Z KU-SHOOT MTU
     Moja kati ya wana hip hop wajasiriamali wenye vitega uchumi vingi nchini Marekani na dunia nzima.. Jigga alianza kupenda pesa akiwa mdogo na hii inaonyesha kuwa Jigga anapenda pesa kuliko utu.. Jigga kachafua biography yake baada ya kum-shoot his blood brother yaani tumbo moja baada ya kumuibia mtonyo tu.

4. PROJECT YA PEKEE ILIYO MPATIA NAS TUNZO YA GRAMMY
     Project ya kwanza naya mwisho ya Nas kunyakua au kubeba tunzo ya grammy… ni ile aliyo muandikia Will Smith nyimbo inaitwa “jiggy with it” Nas hajawahi pata tunzo ya grammy tena tangu project hiyo… Damn Nas!! If I was ur pop ALU DARA I could ask you to stop raping *KIDING*

5.POETIC JUSTICE SEX SCENE
   Kama hujawahiona filamu ya “poetic justice” nakusihi ukaitafute bonge la filamu hilo kuwa na mastaa kibao ndani yake movie hii ilikua ikizungumzia maisha ya mtu mweusi hasa vijana waishio Marekani ndani yake kulikua na Janet Jackson na pia one of the best rapper of all time 2PAC SHAKUR
      Sasa  wakati wa uandaaji wa movie hiyo kuna scene ambayo  2pac na Janet Jackson  na mrs will smith mama wa watoto  wawili Jaden na Willow alitakiwa kufanya mapenzi na rapa 2pac yaani “really sex” lakin ilishindikana kwasababu 2pac alikataa kupima HIV


  6.LIL WAYNE KUJIPIGA RISASI MWENYEWE
    Dwayne Carter raper na CEO wa YMCMB a.k.a Lil Wayne alishawahi ji-shoot mara mbili lakini Weezy hajawa specific kama ni bahati mbaya au makusudi…
  
7.ISSUE YA DR DRE NA BANGI
   Dr dre ni producer na CEO wa beats hearphones pamoja na head phones amesema kwa mara ya kwanza alianza kuvuta bangi a.k.a msuba  alipo kutana na SNOOP LION.. kwaiyo inawezekana jamaa alifundishwa na  2013 BET HIP HOP AWARDS host Snoop mara tu walipo kutana na Dr. Dre wakati anatoa nyimbo ya “strait outta Compton” ambayo ndani yake ali-rap kwamba “I don’t Smoke WEED or CESS” alikuwa hadanganyi kwani paka muda huo alikuwa hajawahikutana na  Snoop Lion

8.NAS KUACHA SHULE
   Unaweza cheka sana ukiskia hii na huwezi amini kwa upande mwengine pia lakini ndo ukweli wenyewe kwamba rapper Nas es cobar aliacha shule akiwa “grade 7” kibongo bongo ni darasa la saba.

 9.LIST YA RAPPERS WALIO SOMA PAMOJA
     Kama hujawahi jua Jay z na  Busta Rhymes wamesoma shule moja na wali-battle kwa mara ya kwanza wakiwa shuleni  shule yao iliitwa Cafeteria.. na pia shule hiyo hiyo waliwahi soma DMX na BIGGIE

10.ALBAM YA JAY Z “BLUE PRINT”
     Kama una presha usisome hii habarí maana inashtua kidogo kama unaijua album ya Jay z inayoitwa “blue print” Ambayo MTV walii-list kama album ya 500 katika album za karne 2000 album hiyo iliandikwa kwa siku mbili tuu

0 comments:

 
Blogger Templates