Thursday, April 24, 2014
Ni ghafla lakini hii hapa MKETE FASHION NIGHT 2014 Mbeya
Usiku wa Fashion ndani ya ukumbi wa Mtenda hall siku ya jumamosi 26, April,2014 sasa umefika kwa mtu yeyote anakaribishwa katika usiku huu uliojaa fun na ubunifu kutoka kwa Designers na Models wa Mbeya.. hii sio ya kukosa jamaa
Burudani mbalimbali zaidi ya fashion show zitaletwa kwenyu na vijana wa mbeya na pia wanachuo kutoka Mzumbe,MUST,TIA,CDTI na TEKU ili kuusindikiza usiku huo wa ubunifu..
Subscribe to:
Post Comments (Atom)






0 comments:
Post a Comment