Pages

Subscribe:

Ads 468x60px

Monday, April 28, 2014

USIKU WA MKETE FASHION MBEYA

Usiku uliojaa ubunifu na burudani mbalimbali ndani ya ukumbi wa Mtenda Sunset, na kuacha uzoefu  wa kitofauti kwa wakazi wa Mbeya kwani haijawahi tokea fashion show kama hiyo mkoani humo....kama ilivyo pangwa usiku huo ulipambwa na Designer na Models kutoka vyuo vikuu vya Mbeya na pia kutoka Green team photogenic.
Mgeni rasmi,sponsors na waandaaji wa mkete fashion night
Designers na Models wakijiaanda



Na pia wasanii na ma dancers walokuwepo na kuleta radha nyingine poa sana ndani ya usiku wa Mkete fashion.... mashabiki waliburudishwa zaidi na sauti nzuri ya msanii kutoka Mbeya Modolist kwenye usiku huu
Washiriki na wazamini wa fashion show hiyo pia walipewa vyeti vya ushiriki katika usiku wa Mkete





Mkete fashion night ndani ya Mbeya hufanyika kila mwaka kuanzia mwaka 2014 na kuendelea...
kwa matukio mengine ya like page yetu Extreme Taarifa

0 comments:

 
Blogger Templates