Makala iliyo sambazwa na "journal of personality and social psychology" imegundulika kuwa vijana wenye asili ya Africa nchini Marekani huchukuliwa kuwa ndio wenye vurugu na usumbufu katika sheria na kuwafanya kuwa wahanga wa matukio mbalimbali na bila kupewa nafasi ya kujitetea mbele ya polisi kwasababu ya zana hiyo....
 |
Polisi wa nchini Marekani wakimkamata kijana mwenye asili ya Afrika |
"Vijana katika jamii nyingi zinawachukulia vijana kama kundi la watu wasio na hatia na wanaitaji ulinzi kutoka kwa wazazi na jamii kwa ujumla..." asema Phillip Goff ambaye ni mwandishi wa makala hiyo... Profesa huyo akaongezea kwa kusema "utafiti wetu umegundua kuwa vijana wenye asili ya Afrika hawachukuliwi kama wanavyo chukuliwa vijana wazungu" na kufanya polisi kutumia nguvu na pia mbwa wanapoenda kuwakamata vijana kwani ni wenye vurugu kuliko....

Utafiti huo umewapitia kuwahoji polisi zaid ya 176 wengi woa wakiwa ni weupe "wazungu" na hilo ni usibitisho kuwa watu wenye asili ya Afrika kutoaminiwa na sheria au serikari pia na kuchunguzwa kwa karibu zaidi wanapo taka kujiunga na jeshi la polisi... utafiti huo umegundua pia 88% za vijana walio kamatwa na polisi ni wale wenye asili ya Afrika na walatino katika kipindi kifupi tu.
0 comments:
Post a Comment