Inawezekana uliwahi waona kwenye matamasha mbalimbali Wema Sepetu na
Diamond wakiwa pamoja lakini hua inakua kama ‘Sapraiz’ ili pengine
kuleta hamasa kwa mashabiki wao,sasa rasmi hii ni show ya kwanza ambayo
itamueka Diamond Platnumz na Wema Sepetu kwenye jukwaa moja.
Wakazi wa Mtwara wamepata zali hili la kuona mastar hawa wakiwa
wanaupeleka usiku wa Hills and Tie ambao umedhaminiwa na kampuni ya simu
za mkononi ya Vodacom,Meneja Masoko wa Vodacon Kelvin Twissa amesema
huu utakua mkoa wa Kwanza na kama Mtwara watatoa sapoti wanategemea
kuifanya iwe tour.
Hii ni namba maalum kwa ajili ya wateja wa vodacom kuweza kununua
tiketi kupitia M pesa kwa simu zao za mkononi ambapo kwa yeyote
atakaenunua atapata punguzo la asilimia 20 namba hiyo ni 0754 980 769.
Wednesday, April 30, 2014
Monday, April 28, 2014
WIMBO ULIOWAKUTANISHA WASANII 50 KUTOKA TANZANIA
Wimbo
Maalumu wa Muungano ulioimbwa na wasanii 50 kutoka Tanzania ambao kwa
pamoja walikaa na kutengeneza wimbo huu,jina la wimbo huu unaitwa
Tuulinde umetayarishwa na maproducer wawili Ema the boy na Tuddy Thomas
kutoka Soround Sound Studio.
Wimbo
huu maalumu wa Muungano umeimbwa kutoka katika mahadhi tofauti tofauti
ya muziki wa hapa Tanzania kuna wa Bongo Flava, Taarab, Dansi, Hiphop na
muziki wa injili.
Inawezekana
ikawa mara ya kwanza katika historia ya nchi yetu,wasanii 50 tofauti
kuimba wimbo kwa pamoja,kwa ushirikiano mkubwa,wasanii hawa
wanatukumbusha umuhimu wa Muungano ambao ndio utanzania wetu.
Miongoni mwa wasanii ambao utazisikia sauti zao ni pamoja na
Kadjanito,Mwasiti,Linah,Christina Shusho,Khadija Kopa,Frola Mbasha,Ommy
Dimpoz,Diamond,Josse Mara,Kalala Jr,Ali Kiba,Peter Msechu,Mrisho
Mpoto,Abdul Kiba,Mzee Yusuph,Angel,Mwana Fa,Nikki Wa pili,G Nako,God
Zilla,Madee,Asley,Shaa,Mandojo,Domokaya,Shilole na Roma Mkatoliki.
USIKU WA MKETE FASHION MBEYA
Usiku uliojaa ubunifu na burudani mbalimbali ndani ya ukumbi wa Mtenda Sunset, na kuacha uzoefu wa kitofauti kwa wakazi wa Mbeya kwani haijawahi tokea fashion show kama hiyo mkoani humo....kama ilivyo pangwa usiku huo ulipambwa na Designer na Models kutoka vyuo vikuu vya Mbeya na pia kutoka Green team photogenic.
Na pia wasanii na ma dancers walokuwepo na kuleta radha nyingine poa sana ndani ya usiku wa Mkete fashion.... mashabiki waliburudishwa zaidi na sauti nzuri ya msanii kutoka Mbeya Modolist kwenye usiku huu
Washiriki na wazamini wa fashion show hiyo pia walipewa vyeti vya ushiriki katika usiku wa Mkete
Mkete fashion night ndani ya Mbeya hufanyika kila mwaka kuanzia mwaka 2014 na kuendelea...
kwa matukio mengine ya like page yetu Extreme Taarifa
Mgeni rasmi,sponsors na waandaaji wa mkete fashion night |
Designers na Models wakijiaanda |
Na pia wasanii na ma dancers walokuwepo na kuleta radha nyingine poa sana ndani ya usiku wa Mkete fashion.... mashabiki waliburudishwa zaidi na sauti nzuri ya msanii kutoka Mbeya Modolist kwenye usiku huu
Washiriki na wazamini wa fashion show hiyo pia walipewa vyeti vya ushiriki katika usiku wa Mkete
Mkete fashion night ndani ya Mbeya hufanyika kila mwaka kuanzia mwaka 2014 na kuendelea...
kwa matukio mengine ya like page yetu Extreme Taarifa
Thursday, April 24, 2014
Ni ghafla lakini hii hapa MKETE FASHION NIGHT 2014 Mbeya
Usiku wa Fashion ndani ya ukumbi wa Mtenda hall siku ya jumamosi 26, April,2014 sasa umefika kwa mtu yeyote anakaribishwa katika usiku huu uliojaa fun na ubunifu kutoka kwa Designers na Models wa Mbeya.. hii sio ya kukosa jamaa
Burudani mbalimbali zaidi ya fashion show zitaletwa kwenyu na vijana wa mbeya na pia wanachuo kutoka Mzumbe,MUST,TIA,CDTI na TEKU ili kuusindikiza usiku huo wa ubunifu..
Tuesday, April 22, 2014
KUVUNJIKA KWA KUNDI LA P-SQUARE
Wiki hii mitandao ya Nigeria iliripoti kuwa kulikuwa na ugomvi mkubwa kati ya mapacha wanaounda kundi la PSquare, Peter na Paul Okoye na kwamba walitaka kupigana wakati wakiwa mazoezini.
Habari hizo zilichochewa na tweet ya kaka yao mkubwa ambaye ni meneja wao, Jude Okoye iliyootafsiriwa na mitandao hiyo kuwa huenda ameachana na kundi hilo baada ya kuwepo ugomvi kati yake na ndugu hao kutokana na msimamo wake wa kutohudhuria ndoa ya kisasa ya mdogo wake itakayofanyika Dubai.
Mitandao hiyo iliandika kuwa Jude Okoye hapatani kabisa na mke wa Peter Okoye, Lola Omotayo.
“After over 10 years of hard work, it’s over. Am done.” Alitweet Jude Okoye.
Hata hivyo, msemaji wa kundi hilo anaejulikana kama Bayo Adetu amekanusha habari hizo wakati akiongea na Premium Times na kudai kuwa hafahamu habari hizo zimetoka wapi.
“I am too busy to give some wanna be blogger traffic, I don’t know where that report is coming from. Maybe they just want to get traffic to their site. It’s baseless and untrue.” Amesema Bayo Adetu.
Thursday, April 17, 2014
TEN HIP HOP FACTS HIZI HAPA
HIP HOP ni aina ya muziki au utamaduni unaopendwa na vijana wengi zaidi duniani na ni aina ya muziki wenye mashabiki wengi zaidi… kuna baadhi ya mambo ambayo najua utakua haufahamu kuhusiana na muziki huu na hujawahi sikia kwa mtu sasa fungua macho nikupe ukweli wa mambo kadhaa..
1.KUNDI LA HIP HOP LA KWANZA LA WANAWAKE
Tumeona makundi mengi ya hip-hop huwa ni ya wanaume tupu lakini hawa ndio wanawake wa kwanza kuwa pamoja na kutengeneza group moja lililokwenda kwa jina la MARCEDES LADIES
2.KAZI ALIYOFANYA DIDDY KABLA YA KUANZA MUZIKI
Kwa mara ya kwanza P.diddy alianza kuonekana katika majukwaa ya HIP HOP akiwa kama “back up” dancer wa Big Daddy Kane.. hapo ndio tunaona kweli everything Start from bottom
3.MARA YA KWANZA JAY Z KU-SHOOT MTU
Moja kati ya wana hip hop wajasiriamali wenye vitega uchumi vingi nchini Marekani na dunia nzima.. Jigga alianza kupenda pesa akiwa mdogo na hii inaonyesha kuwa Jigga anapenda pesa kuliko utu.. Jigga kachafua biography yake baada ya kum-shoot his blood brother yaani tumbo moja baada ya kumuibia mtonyo tu.
4. PROJECT YA PEKEE ILIYO MPATIA NAS TUNZO YA GRAMMY
Project ya kwanza naya mwisho ya Nas kunyakua au kubeba tunzo ya grammy… ni ile aliyo muandikia Will Smith nyimbo inaitwa “jiggy with it” Nas hajawahi pata tunzo ya grammy tena tangu project hiyo… Damn Nas!! If I was ur pop ALU DARA I could ask you to stop raping *KIDING*
5.POETIC JUSTICE SEX SCENE
Kama hujawahiona filamu ya “poetic justice” nakusihi ukaitafute bonge la filamu hilo kuwa na mastaa kibao ndani yake movie hii ilikua ikizungumzia maisha ya mtu mweusi hasa vijana waishio Marekani ndani yake kulikua na Janet Jackson na pia one of the best rapper of all time 2PAC SHAKUR
Sasa wakati wa uandaaji wa movie hiyo kuna scene ambayo 2pac na Janet Jackson na mrs will smith mama wa watoto wawili Jaden na Willow alitakiwa kufanya mapenzi na rapa 2pac yaani “really sex” lakin ilishindikana kwasababu 2pac alikataa kupima HIV
6.LIL WAYNE KUJIPIGA RISASI MWENYEWE
Dwayne Carter raper na CEO wa YMCMB a.k.a Lil Wayne alishawahi ji-shoot mara mbili lakini Weezy hajawa specific kama ni bahati mbaya au makusudi…
7.ISSUE YA DR DRE NA BANGI
Dr dre ni producer na CEO wa beats hearphones pamoja na head phones amesema kwa mara ya kwanza alianza kuvuta bangi a.k.a msuba alipo kutana na SNOOP LION.. kwaiyo inawezekana jamaa alifundishwa na 2013 BET HIP HOP AWARDS host Snoop mara tu walipo kutana na Dr. Dre wakati anatoa nyimbo ya “strait outta Compton” ambayo ndani yake ali-rap kwamba “I don’t Smoke WEED or CESS” alikuwa hadanganyi kwani paka muda huo alikuwa hajawahikutana na Snoop Lion
8.NAS KUACHA SHULE
Unaweza cheka sana ukiskia hii na huwezi amini kwa upande mwengine pia lakini ndo ukweli wenyewe kwamba rapper Nas es cobar aliacha shule akiwa “grade 7” kibongo bongo ni darasa la saba.
9.LIST YA RAPPERS WALIO SOMA PAMOJA
Kama hujawahi jua Jay z na Busta Rhymes wamesoma shule moja na wali-battle kwa mara ya kwanza wakiwa shuleni shule yao iliitwa Cafeteria.. na pia shule hiyo hiyo waliwahi soma DMX na BIGGIE
10.ALBAM YA JAY Z “BLUE PRINT”
Kama una presha usisome hii habarí maana inashtua kidogo kama unaijua album ya Jay z inayoitwa “blue print” Ambayo MTV walii-list kama album ya 500 katika album za karne 2000 album hiyo iliandikwa kwa siku mbili tuu
1.KUNDI LA HIP HOP LA KWANZA LA WANAWAKE
Tumeona makundi mengi ya hip-hop huwa ni ya wanaume tupu lakini hawa ndio wanawake wa kwanza kuwa pamoja na kutengeneza group moja lililokwenda kwa jina la MARCEDES LADIES
2.KAZI ALIYOFANYA DIDDY KABLA YA KUANZA MUZIKI
Kwa mara ya kwanza P.diddy alianza kuonekana katika majukwaa ya HIP HOP akiwa kama “back up” dancer wa Big Daddy Kane.. hapo ndio tunaona kweli everything Start from bottom
3.MARA YA KWANZA JAY Z KU-SHOOT MTU
Moja kati ya wana hip hop wajasiriamali wenye vitega uchumi vingi nchini Marekani na dunia nzima.. Jigga alianza kupenda pesa akiwa mdogo na hii inaonyesha kuwa Jigga anapenda pesa kuliko utu.. Jigga kachafua biography yake baada ya kum-shoot his blood brother yaani tumbo moja baada ya kumuibia mtonyo tu.
4. PROJECT YA PEKEE ILIYO MPATIA NAS TUNZO YA GRAMMY
Project ya kwanza naya mwisho ya Nas kunyakua au kubeba tunzo ya grammy… ni ile aliyo muandikia Will Smith nyimbo inaitwa “jiggy with it” Nas hajawahi pata tunzo ya grammy tena tangu project hiyo… Damn Nas!! If I was ur pop ALU DARA I could ask you to stop raping *KIDING*
5.POETIC JUSTICE SEX SCENE
Kama hujawahiona filamu ya “poetic justice” nakusihi ukaitafute bonge la filamu hilo kuwa na mastaa kibao ndani yake movie hii ilikua ikizungumzia maisha ya mtu mweusi hasa vijana waishio Marekani ndani yake kulikua na Janet Jackson na pia one of the best rapper of all time 2PAC SHAKUR
Sasa wakati wa uandaaji wa movie hiyo kuna scene ambayo 2pac na Janet Jackson na mrs will smith mama wa watoto wawili Jaden na Willow alitakiwa kufanya mapenzi na rapa 2pac yaani “really sex” lakin ilishindikana kwasababu 2pac alikataa kupima HIV
6.LIL WAYNE KUJIPIGA RISASI MWENYEWE
Dwayne Carter raper na CEO wa YMCMB a.k.a Lil Wayne alishawahi ji-shoot mara mbili lakini Weezy hajawa specific kama ni bahati mbaya au makusudi…
7.ISSUE YA DR DRE NA BANGI
Dr dre ni producer na CEO wa beats hearphones pamoja na head phones amesema kwa mara ya kwanza alianza kuvuta bangi a.k.a msuba alipo kutana na SNOOP LION.. kwaiyo inawezekana jamaa alifundishwa na 2013 BET HIP HOP AWARDS host Snoop mara tu walipo kutana na Dr. Dre wakati anatoa nyimbo ya “strait outta Compton” ambayo ndani yake ali-rap kwamba “I don’t Smoke WEED or CESS” alikuwa hadanganyi kwani paka muda huo alikuwa hajawahikutana na Snoop Lion
8.NAS KUACHA SHULE
Unaweza cheka sana ukiskia hii na huwezi amini kwa upande mwengine pia lakini ndo ukweli wenyewe kwamba rapper Nas es cobar aliacha shule akiwa “grade 7” kibongo bongo ni darasa la saba.
9.LIST YA RAPPERS WALIO SOMA PAMOJA
Kama hujawahi jua Jay z na Busta Rhymes wamesoma shule moja na wali-battle kwa mara ya kwanza wakiwa shuleni shule yao iliitwa Cafeteria.. na pia shule hiyo hiyo waliwahi soma DMX na BIGGIE
10.ALBAM YA JAY Z “BLUE PRINT”
Kama una presha usisome hii habarí maana inashtua kidogo kama unaijua album ya Jay z inayoitwa “blue print” Ambayo MTV walii-list kama album ya 500 katika album za karne 2000 album hiyo iliandikwa kwa siku mbili tuu
Monday, April 14, 2014
MAALIMU MUHIDIN GURUMO AFARIKI DUNIA AKIWA NA MIAKA 74.
Mwanamuziki mkogwe wa muziki wa dance Nchini Maalim Muhidin Gurumo afariki dunia jumapili ya April 13baada ya kulazwa katika hospitali ya taifa Muhimbili jijini Dar es salaam..
Mzee Gurumo alizaliwa mwaka 1940 katika kijiji cha Masaki Kisarawe mkoa wa Pwani
Mwanamuziki huyo aliyeimbia bendi ya Msondo Ngoma kwa zaidi ya miaka 50 tangia mwaka 1964, ameacha mjane na watoto.... extreme taarifa inawapapole familia ya mzee Ngurumo.
BREAKING NEWS:bomu lililolipuka Arusha April 13 usiku, idadi ya waliojeruhiwa.
Usiku wa April 13 2014 kwenye baa iitwayo ‘Arusha night park’ iliyopo Mianzini Arusha ambayo siku zote ni miongoni mwa sehemu zinazokua na mkusanyiko wa watu wengi kuanzia jioni, limerushwa bomu wakati watu mbalimbali wakitazama mpira.
mkuu wa mkoa wa Arusha ambae ni kiongozi wa Kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa ambae amethibitisha kwamba ni watu 15 wamejeruhiwa kwenye mlipuko huo.
Anasema wote wamepelekwa hospitali ambapo uchunguzi wa awali umeonyesha bomu hilo ni la kutengenezwa kwa mkono na mpaka sasa hajajulikana alietekeleza shambulio hilo.
Kwenye sentensi nyingine pia amesema hakuna aliepoteza maisha kwenye shambulio hilo ambalo uchunguzi wa awali umeshatoka, ila baadae itatoka taarifa rasmi pale uchunguzi kamili utakapokamilika.
Sunday, April 13, 2014
255 EXCLUSIVE: MODOLIST - USINIACHE
Bonge la song kutoka kwa msanii from Greencity, Mbeya city... ni wimbo unaofanya vizuri sana kutokana na mahudhui na uimbaji wa underground huyo anayefahamika kwa jina la Modolist, akiyalilia mapenzi au mpenzi
sikiliza na kudownload hapa....
Artist;Modolisti
Song ;Usiniache
SIKILIZA NA DOWNLOAD HAPA
sikiliza na kudownload hapa....
Artist;Modolisti
Song ;Usiniache
SIKILIZA NA DOWNLOAD HAPA
Saturday, April 12, 2014
VIDEO:ONE - COCOA NA CHOCOLATE HII HAPA
Song iliyowakusanya wanamuziki wakubwa kutoka Africa akiwemo na Rais wa wasafi Diamond platnumz na pia Ambwene Yesaya kutoka Tanzania ndani ya kichupa hiki...
BEHIND THE SCENE VIDEO:QUEEN DARLEEN FET. SHILOLE - WANATETEMEKA HII HAPA
Hii ni video iliyowahusisha Diamond Platnumz na dada yake wa damu Queen
Darlin uzinduzi wa video hii ulifanyika Bilicanas mwishoni mwa wiki
iliyopita,video hii imetenegezwa na kampuni ya Jerry Mushala Studio.
VIDEO: YEMI ALADE - JOHNNY HII HAPA
Thursday, April 10, 2014
Lupita Nyong'o akava jarida la Marie Claire
Ikiwa ni wiki moja tuu toka mwanadada nyota wa filamu ya "12 years of slave" Lupita Nyong'o kutangazwa kuwa ni balozi wa vipodozi vya Lincome ya Ufaransa, mwigizaji huyo amekava jarida la Marie Claire toleo la mwezi ujao ( may 2014)..
Katika jarida hilo mwigizaji huyo wa kenya amezungumzia mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na projects zake zijazo.Pia amekiri kuwa hapo mwanzo hakuwa mtu wa fashion na kumpa sifa na shukrani stylist wake Micaela Erlanger ambaye ndiye husimamia swala zima la muonekano wake.
Katika jarida hilo mwigizaji huyo wa kenya amezungumzia mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na projects zake zijazo.Pia amekiri kuwa hapo mwanzo hakuwa mtu wa fashion na kumpa sifa na shukrani stylist wake Micaela Erlanger ambaye ndiye husimamia swala zima la muonekano wake.
MAJINA YA WANAMUZIKI WANAOWANIA "NOMINEES" TUZO ZA BILLBOARD MUSIC AWARDS HAYA HAPA
Majina ya wanamuziki hao yametangazwa rasmi April 9, na mastar wenye kuwania category nyingi zaidi katika tunzo hizo ni Imagine Dragons na Fellow Finalist Lorge wakiongoza kwa nomination katika categories 12, wakifuatiwa na mwanamuziki Justin Timberlake akiwa na nomination 11 na pia mwanadada Katy pery akiwa na nomination 10.... na hapa ni wasanii na bandi katika categories zinazowania tunzo za Billboard Music Awards
MWANAMUZIKI BORA
Miley Cyrus
Imagine Dragons
Bruno Mars
Katy Perry
Justin Timberlake
MSANII BORA WA KIUME
Luke Bryan
Drake
Eminem
Bruno Mars
Justin Timberlake
MSANII BORA WA KIKE
Beyonce
Miley Cyrus
Lorde
Katy Perry
Rihanna
KUNDI BORA
Florida Georgia Line
Imagine Dragons
Macklemore & Ryan Lewis
One Direction
OneRepublic
Top Billboard 200 Artist
Beyonce
Luke Bryan
Eminem
One Direction
Justin Timberlake
Top Hot 100 Artist
Miley Cyrus
Imagine Dragons
Lorde
Katy Perry
Justin Timberlake
Top Digital Songs Artist
Miley Cyrus
Imagine Dragons
Lorde
Macklemore & Ryan Lewis
Katy Perry
Top Radio Songs Artist
Imagine Dragons
Lorde
Bruno Mars
Katy Perry
Justin Timberlake
Top Touring Artist
Beyonce
Bon Jovi
Pink
Rihanna
Bruce Springsteen & the E Street Band
Top Social Artist
Justin Bieber
Miley Cyrus
One Direction
Rihanna
Taylor Swift
Top Streaming Artist
Miley Cyrus
Imagine Dragons
Macklemore & Ryan Lewis
Katy Perry
PSY
Top R&B Artist
Beyonce
Pharrell
Rihanna
Robin Thicke
Justin Timberlake
Top Rap Artist
Drake
Eminem
Jay Z
Macklemore & Ryan Lewis
Pitbull
Top Country Artist
Luke Bryan
Florida Georgia Line
Darius Rucker
Blake Shelton
Taylor Swift
Top Rock Artist
Capital Cities
Fall Out Boy
Imagine Dragons
Lorde
Passenger
Top Latin Artist
Marc Anthony
Gerardo Ortiz
Jenni Rivera
Prince Royce
Romeo Santos
Top Dance / Electronic Artist
Avicii
Daft Punk
Calvin Harris
Lady Gaga
Zedd
Top Christian Artist
Mandisa
Skillet
tobyMac
Chris Tomlin
Matthew West
ALBUM AWARDS
Top Billboard 200 Album
Beyonce - "Beyonce"
Luke Bryan - "Crash My Party"
Drake - "Nothing Was The Same"
Eminem - "The Marshall Mathers LP 2"
Justin Timberlake - "The 20/20 Experience"
Top R&B Album
Beyonce - "Beyonce"
R. Kelly - "Black Panties"
Robin Thicke - "Blurred Lines"
Justin Timberlake - "The 20/20 Experience"
Justin Timberlake - "The 20/20 Experience (2 of 2)"
Top Rap Album
J. Cole - "Born Sinner"
Drake - "Nothing Was The Same"
Eminem - "The Marshall Mathers LP 2"
Jay Z - "Magna Carta& Holy Grail"
Macklemore & Ryan Lewis - "The Heist"
Top Country Album
Garth Brooks - "Blame It All On My Roots: Five Decades of Influences"
Luke Bryan - "Crash My Party"
Florida Georgia Line - "Here's To The Good Times"
The Robertsons - "Duck The Halls: A Robertson Family Christmas"
Blake Shelton - "Based On A True Story"
Top Rock Album
Lana Del Rey - "Born To Die"
Fall Out Boy - "Save Rock And Roll"
Imagine Dragons - "Night Visions"
Lorde - "Pure Heroine"
Mumford & Sons - "Babel"
Top Latin Album
Marc Anthony - "3.0"
Alejandro Fernandez - "Confidencias"
Jenni Rivera - "1969 - Siempre: En Vivo Desde Monterrey: Parte "
Prince Royce - "Soy El Mismo"
Romeo Santos - "Formula: Vol. 2"
Top Dance / Electronic Album
Avicii - "True"
Daft Punk - "Random Access Memories"
Lady Gaga - "ARTPOP"
Lindsey Stirling - "Lindsey Stirling"
Zedd - "Clarity"
Top Christian Album
Alan Jackson - "Precious Memories: Volume II"
Skillet - "Rise"
Third Day - "Miracle"
Chris Tomlin - "Burning Lights
Various Artists - "WOW Hits 2014"
SONG AWARDS
Top Hot 100 Song
Miley Cyrus - "Wrecking Ball"
Imagine Dragons" - "Radioactive"
Lorde - "Royals"
Katy Perry - "Roar"
Robin Thicke Featuring T.I. & Pharrell - "Blurred Lines"
Top Digital Song
Imagine Dragons - "Radioactive"
Lorde - "Royals"
OneRepublic - "Counting Stars"
Katy Perry - "Roar"
Robin Thicke Featuring T.I. & Pharrell - "Blurred Lines"
Top Radio Song
Avicii - "Wake Me Up"
Lorde - "Royals"
Katy Perry - "Roar"
Robin Thicke Featuring T.I. & Pharrell - "Blurred Lines"
Justin Timberlake - "Mirrors"
Top Streaming Song (Audio)
Daft Punk Featuring Pharrell William - "Get Lucky"
Imagine Dragons - "Radioactive"
Lorde - "Royals"
Macklemore & Ryan Lewis Featuring Ray Dalton, "Can't Hold Us"
Robin Thicke Featuring T.I. & Pharrell - "Blurred Lines"
Top Streaming Song (Video)
Baauer - "Harlem Shake"
Miley Cyrus - "We Can't Stop"
Miley Cyrus - "Wrecking Ball"
Macklemore & Ryan Lewis Featuring Wanz - "Thrift Shop"
Katy Perry - "Roar"
Top Rap Song
Eminem Featuring Rihanna - "The Monster"
Jay Z Featuring Justin Timberlake - "Holy Grail"
Macklemore & Ryan Lewis Featuring Ray Dalton - "Can't Hold Us"
Macklemore & Ryan Lewis Featuring Wanz - "Thrift Shop"
Pitbull Featuring Ke$ha - "Timber"
Top Country Song
Luke Bryan - "Crash My Party"
Luke Bryan - "That's My Kind Of Night"
Florida Georgia Line Featuring Nelly - "Cruise"
Darius Rucker - "Wagon Wheel"
Blake Shelton Featuring Pistol Annies & Friends - "Boys 'Round Here"
Top Rock Song
Capital Cities - "Safe And Sound"
Imagine Dragons - "Demons"
Imagine Dragons - "Radioactive"
Lorde - "Royals"
Passenger - "Let Her Go"
Top Latin Song
Marc Anthony - "Vivir Mi Vida"
Daddy Yankee - "Limbo"
Enrique Iglesias Featuring Romeo Santos - "Loco"
Prince Royce - "Darte Un Beso"
Romeo Santos - "Propuesta Indecente"
Top Dance / Electronic Song
Avicii -"Wake Me Up"
Daft Punk Featuring Pharrell Williams - "Get Lucky"
Icona Pop Featuring Charlie XCX - "I Love It"
Lady Gaga - "Applause"
Zedd Featuring Foxes - "Clarity"
Top Christian Song
Building 429 - "We Won't Be Shaken"
Mandisa - "Overcomer"
Sidewalk Prophets - "Help Me Find It"
Chris Tomlin - "Whom Shall I Fear (God Of Angel Armies)"
Matthew West - "Hello, My Name Is"
Monday, April 7, 2014
MASTAR WENYE MASHABIKI WENGI MTANDAONI.
Well wacha tuanze list hii tukianza na namba moja hadi 5, unadhani ni nani kaongoza katika list hii fatilia hapa..
1. Lady Jay Dee aka Komando aka Anaconda.
Judith Wambula likiwa ndiyo jina lake halisi la kwenye kitambulisho ila jina la kisanii anajulikana kama Lady Jay Dee, ni msanii wa kike aliyetamba katika game karibia miaka 15 mpaka sasa tangu aanze muziki na ndiye star anayeongoza kuwa na mashabiki wengi zaidi katika social network. katika ukurasa wake wa facebook Lady Jay Dee ana like zaidi ya 262,583 huku katika akaundi yake ya twitter ana followers zaidi ya 76k na instagram ana follower 27,520 huku akiwa na wastani wa mashabiki 122034.3 katika mitandao yote mitatu ya kijamii
2, Diamond Platnumz aka Dangote
Jina la kwenye ID ni Naseeb Abdul ila linalompa kula ni Diamond Platunumz, kwa upande wa muziki wa bongo fleva huyu ndiye msanii anayelipwa Pesa nyingi zaidi kwa kila show anayofanya iwe ndani au nje ya Bongo na kadri siku zinavyozidi kwenda anazidi kujiongezea umaarufu na umaarufu unapanda zaidi kutokana na mahusiano ya kimapenzi aliyonayo na mtoto wa marehemu mzee Sepetu, Diamond anashika nafasi ya pili akiwa na likes 164,665 katika facebook na twitter ana followers zaidi ya 62.9k, huku instagram akiwa na followers zaidi ya 101k huku instagram akiwa na followers 43,678 huku akiwa na wasani wa mashabiki 109521.7 katika mitandao yote mitatu ya ya kijamii
3. Masanja Mkandamizaji aka Mchungaji
Jina la kwenye kitambulisho ni Emanuel Mgaya ila anajulikana kama Masanja Mkandamizaji, umaarufu wake ulianza alipokuwa akifanya kipindi cha comedy katika kituo cha channel 5 na baadae kuhamia TBC1 katika kipindi chote hicho Masanja anahesabika kuwa ni miongoni mwa wachekeshaji wakubwa zaidi hapa Tanzania. Masanja anashika nafasi ya tatu katika countdown yetu huku akiwa na likes 200,177 katika ukurasa wake wa Facebook huku katika twitter akiwa na follower zaidi ya 91.1k na instagram ana follower 16,448 huku akiwa na wasani wa mashabiki 102575 katika mitandao yote
mitatu ya kijamii
4. Millard Ayo aka Mtu wangu wa Nguvu
Siku baada ya siku jina lake linazidi kukuwa hasa akiwa ndiye kijana anayewavutia watu wengi wa kila lika kwa namna ya utangazaji wake na muonekano wake kwa ujumla. Millard Ayo ni mtangazaji wa Clouds anayekuwa na kipindi kila siku za wiki kuanzia saa 1 kamili hadi saa3 usiku akiwa anahesabu habari 10 za moto za ndani na nje ya bongo. Millard Ayo anashika nafasi ya 4 akiwa na jumla ya likes 169,298 katika facebook na twitter ana followers zaidi ya 87.7k, huku instagram akiwa na followers 43,678 huku akiwa na wasani wa mashabiki 100225.3 katika mitandao yote mitatu ya kijamii
5.Wema Sepetu aka Madame
Jina la wema limekuwa gumzo kila kukicha katika social media na kwenye magazeti ya udaku kwani kila siku lazima awepo katika magazeti hayo. Wema sepetu ambaye kwa sasa ni mpenzi wa mwanamziki Diamond Platnumz. Wema anajumla ya likes 82,651 kwenye facebook na twitter ana followers zaidi ya 65.9k huku instagram akiwa na followers 88,683 huku akiwa na wasani wa mashabiki 79,078 katika mitandao yote mitatu ya kijamii
Subscribe to:
Posts (Atom)